Madaktari na waalamu wa afya wanashauri kulala bila nguo za ndani wakati
wa usiku ili kuwezesha viungo vya uzazi kupata hewa ya kutosha ili
kuepuka maambukizi ya fangasi na kutoa harufu mbaya katika sehemu za
siri. Kuvaa nguo za ndani wakati wa kulala usababisha kubana sehemu za
siri na joto kupita kiasi ambayo usababisha joto kupita kiasi na unyevu
na kuvutia ukuaji wa fangasi na bakteria kwa jinsia zote huku pia
zikisababisha upungufu wa mbegu za kiume na harufu mbaya.
Home
»
breakingnews
»
habari
»
MAPENZI
»
MADHARA YA KULALA NA NGUO ZA NDANI HAYA HAPA A.K.A CHUPI!!!?
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment