Mwanafunzi akiwaachanisha wenzake wanaogombania mwanaume
Unajua
imekuwa ni kawaida sana kwa wazazi kuilaumu serikari mara watoto wao
wanapopata matokeo mabaya ya mtihani. Kauli nyingi hujitokeza mara baada
ya matokeo kutoka wakidai waziri wa wizara fulani awajibike kwa matokeo
mabaya ya wanafunzi. Hebu tuangalie
hili suala kwa makini, waziri anahusikaje na matokeo mabaya ya mwanao
kwa huu upuuzi wanaoufanya? Yaani waziri aanze kazi ya kuwatangaziwa
wanafunzi kuwa mapenzi na shule haifai? Jamani nadhani sasa ifikie muda
wazazi tuamke, tushirikiane na walimu kuhakikisha wanafunzi
hawajihusishi na mambo kama haya mpaka watakapo maliza masomo yao.
KUNA MATUKIO MENGI SANA YANAYOSHUSHA ELIMU TANZANIA. HEBU ONA WENGINE HAWA WAKIFANYA MAPENZI KANDOKANDO YA DARASA
0 comments :
Post a Comment