Jay Z akiwa na binti yake Blue Ivy wakiangalia onyesho la utoaji tuzo za MTV Video jijini Los Angeles siku ya Jumapili.
Jay Z akiwa na binti yake Blue Ivy wakiangalia onyesho la utoaji tuzo za MTV Video jijini Los Angeles siku ya Jumapili.
Beyonce na mumewe Jay Z walishinda tuzo ya video bora ya ushirikiano ya MTV. Tuzo hiyo ni kutokana na wimbo wao wa Drunk in Love. Sherehe za utoaji wa tuzo hizo za MTV zilifanyika Inglewood mjini Los Angeles, siku ya Jumapili na kuhudhuriwa na mastaa kibao.
Video ya Mwaka
Miley Cyrus: Wrecking Ball

Video Bora ya Hip Hop
Drake ft. Majid Jordan: Hold On (We’re Going Home)

Video Bora ya Msanii wa Kiume
Ed Sheeran ft. Pharrell Williams: Sing

Video Bora ya Msanii wa Kike
Katy Perry ft. Juicy J: Dark Horse

Video Bora ya Pop
Ariana Grande ft. Iggy Azalea: Problem

Video Bora ya Rock
Lorde: Royals

Msanii wa Kutazamwa
Fifth Harmony: Miss Movin’ On

Ushirikiano Bora
Beyoncé ft. Jay Z: Drunk In Love

MTV Clubland Award
Zedd ft. Hayley Williams: Stay the Night

Video Bora yenye Ujumbe kwa Jamii
Beyoncé: Pretty Hurts

Utengenezaji Bora wa Filamu
Beyoncé: Pretty Hurts

Uhariri Bora
Eminem: Rap God

Onyesho lenye Uchezaji wa Kisanii Bora
Sia: Chandelier

Uongozaji Bora
DJ Snake & Lil Jon: Turn Down For What

Uongozaji Bora wa Sanaa
Arcade Fire: Reflektor

Best Visual Effects
OK Go: The Writing’s On The Wall

0 comments :

Post a Comment

 
Top
Bongohots.blospot.Com