Zitto Kabwe |
KWA
mara ya kwanza Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka
na kuzungumzia uhusiano wake na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness
Malinzi ‘Diva’ na kufuta uvumi mzito uliokuwa ukizagaa kuwa wawili hao
ni wapenzi.
Aidha alikanusha vilevile juu ya kuhusishwa kutembea na Mwasiti
Zitto alikiri kuwa ni baba wa mtoto mmoja kwa mkewe Jack ingawa hawajafunga ndoa.
KWA HABARI NYINGINE BOFYA HAPO CHINI
*HABARI*
KWA HABARI NYINGINE BOFYA HAPO CHINI
*HABARI*
0 comments :
Post a Comment