Image copyrightREUTERS
Image captionGaza

Ndege za kivita za Israeli zimetekeleza msururu wa mashambulzi ya asubuhi mapema huko Gaza.
Jeshi la Israeli linasema limeshambulia maeneo manne yanayohusishwa na wapiganaji wa Hamas ambao wanadhibiti eneo hilo.
Kulingana na taarifa kutoka kwa vyanzo nchini Palestina, watu wawili wameuawa.

Image copyrightREUTERS
Image captionGaza

Awali kombora lililofytuliwa kutoka Gaza liligonga jengo la shule ya chekechea japo halikuwa na watu.

0 comments :

Post a Comment

 
Top
Bongohots.blospot.Com