Tamasha la Fiesta linaloandaliwa na clouds media linatarajiwa kuanza 9 August 2014.Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo Sebastian Maganga amesema tamasha hilo kwa mwaka huu ltakuwa na mvuto wa aina yake huku kauli mbiu ikiwa ni SAMBAZA UPENDO ufunguzi utafanyika mkoani Mwanza katika uwanja wa CCM kirumba huku idadi ya wasanii ikitarajiwa kuongezwa tofauti na mwaka jana na baadhi ya mikoa kuongezwa katika list ya mikoa ambayo Serengeti fiesta itafanyika.

0 comments :

Post a Comment

 
Top
Bongohots.blospot.Com