Wanaume wengi sana sikuizi wanapata jangahili lakukosa hamu yakufnya tendo la ndoa pamoja na ukosefu wa nguvu za kiume,na hii inatokana na mambo meng sana ambayo wanakua wanayafnya bila wao kujua madhara yake.mfno.upigaji wa punyeto,vyakula vyenye mchanganyiko wa kimekimali(vilivyovundikwa),mawazo mengi ambayo saa nyingine yanampelekea kutokupata hamu yakufanya tendo la ndoa,uangaliaji wa filamu za ngono kupita kiwango.nk.Vitu vifuatavyo vitakusaidia kama utakua na ww ni mmoja wapo wa watu wanaosumbuliwa na haya matatizo.

1.Ndizi mbivu....
2.Pendelea kutumia sana vitunguu saumu katika vyakula vyako
3.Karoti
4.Samaki..pendelea sana kunywa supu ya samaki(pweza,uono,dagaa nk) na usipendelee sana samaki wakupkwa na mafuta
5.Karanga 
6.Maparachichi
7.Usiwe mtu wa kuwaza sana...ujaribu kupunguza mawazo.
8.Mboga za majani.
9.Nyama nyekundu
10.Mayai
11.Binjira
12.Mawese.
13.Korosho
14.Pilipili
15.Papai
16.Miogo
17.Ngogwe
18.Bamia
Pendelea sana kula vitu asilia kuliko vyakutengeneza na pia utumiaji wa dawa za kemikali katika ufanyaji wa mapenzi ni hatar sana maana vinafanya kazi kwa mda ule tuu ila kwa baadae vina madhara makubwa sana.

0 comments :

Post a Comment

 
Top
Bongohots.blospot.Com